Flickr

Thursday, 1 February 2024

Naomba Kuondoka Lyrics Video

Haya mapenzi namna gani?
Tunapigana mbele ya watoto jamani
Tunatusiantusiana mbele ya majirani
Mbona tunavuana mavazi hadharani
Najua kawaida binadamu zipo siku hawapatani
Lakini zogo letu halina mwisho kwa nini
Dhuluma dhuluma drama drama dhuluma ya nini
Kama mapenzi namna hii

Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya  

Haya mapenzi namna gani?
Mbona tunaishi kwama washukiwa kwa nyumba
Maneno yetu ni machungu kumbe yanashinda mimba
Usione nimenyamaza siku hizi sitaki kuchimba
Maisha magumu eh Mungu nirehemu nakuomba
Nikikumbuka tulipatana kanisani kichwa kinavimba
Najua walimwengu mtasema mengi kimeniramba
Kama mapenzi namna hii


Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya  


Ona sasa nimekung'oa jino
Ulitafuna vidole vyangu no no 
Makasisi wamenawa mikono
Tabia zetu aibu mno
Heri nkupe buriani mkono
Tusijeuana mukwano
Watoto wasijeteseka mu dunia ino
Haya mapenzi namna gani
Kama mapenzi namna hii


Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya
Naomba kuondoka
Ayayaya  

Related Posts:

  • Amkeni Choir_Ewe Roho Mtakatifu Lyrics Ewe roho mutakatifu, utu ongoze sisi wakristo, Utufikishe kwenye njia iendayo kule mbinguni, Ewe roho mutakatifu, utu ongoze sisi wakristo, Ut… Read More
  • WAKE UP! IT'S MORNING Bishop TD Jakes Addressing Entrepreneurs  “I hear people from outside talk about opportunities in Africa more than I hear Africans talk ab… Read More
  • Music is A Language: My Experience in Ghana Douglas with a copy of High Life Time 3 Ebo Tylor receiving an exemplary award There's so much talent in Africa that I think if we had the ri… Read More
  • New Waters! Good Morning World! We are hardly ten nights into the year and if the 12 months were just the 12 hours of the day, it's true that some chaps wo… Read More
  • Take Off I Lake Como at night Como is a beautiful place. Well I know that's an understatement but what can one say? Normally, a city with many big buildings… Read More

0 comments:

Post a Comment